Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi

Taarifa Mpya
Zanzibar Port Authority (ZPC) — 06 Mar 2026 @ Amani stadium
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi.

Kuhusu Sisi & Historia

Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi — Kielelezo cha Maendeleo ya Miundombinu

Ubunifu na Ueledi

Karibu Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi

Tunasimamia mustakabali wa usafirishaji na mawasiliano Zanzibar kwa miaka 10+ ya uadilifu. Sisi ni daraja la kuelekea uchumi wa bluu na maendeleo ya kisasa ya visiwa vyetu.

Ofisi

10+

Miaka ya
Uzoefu

Nguvu yetu

Sera na Usimamizi Wetu

DIRA YETU

Kuwa taasisi ya umma yenye kuongoza katika kujenga uchumi imara wa Zanzibar kwa kuimarisha miundombinu na huduma za usafiri na mawasiliano.

MAADILI MAKUU

• Utiifu • Uwajibikaji • Uzalendo • Uwazi • Uadilifu • Uvumbuzi

MALENGO YETU

  • Huduma bora za Usafiri
  • Usalama wa Barabara & Anga
  • Miundombinu imara

Muundo wa Wizara

Wizara imeundwa na Idara nne za kimkakati na Taasisi Saba zinazojitegemea zinazohakikisha utendaji wa kila siku unastawi.

Majukumu Yetu

Kusimamia Sekta ya Usafirishaji Nchi kavu, Anga, na Baharini pamoja na mapinduzi ya TEHAMA visiwani Zanzibar.

Msingi wa Kazi Zetu

Tunatekeleza majukumu kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo, MKUZA III, na Sera za kisasa za Usafiri na Mawasiliano (2013).